Welcome to TANDEN information portal. Thursday, 9th Sep,2010
Username: Password:
Upcoming Tanzanians' events
Tomorrow - Jagwa Music Concert
11 Sep - Eid el Fitri Celebration
18 Sep - TANDEN family day
Public holidays in Denmark
24 Dec - Christmas Eve
25 Dec - Christmas Day
26 Dec - Boxing Day
Denmark: Best African Achievement Awards 2010 ■■ Press release: Mzungu Kichaa on European tour in August 2010 ■■ Dulla Mnanga Album "Nani" is out ■■ Invest in Tanzania■■ Welcome to Tanzania, the land of Kilimanjaro,Zanzibar and Serengeti
Benki ya Dunia yaikopesha Tanzania bilioni 4 za makazi
Bookmark and Share

Source : Ippmedia
Posted by: Webmaster on 14-Mar-2010

Bodi ya Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya Dunia (WB), imeidhinisha mkopo wenye thamani ya Dola milioni 40 za Marekani kwa ajili ya kufanikisha mradi wa kufadhili ujenzi wa makazi hapa nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na WB, fedha hizo zilitolewa kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa (IDA).

Malengo ya mradi huo ni kuanzisha mikopo kwa ajili ya ujenzi wa nyumba, itakayotolewa kwa masharti ya kulipwa katika muda mfupi na mrefu.

Tatizo hilo linaongezeka kila mwaka, ikiwa ni matokeo ya ukosefu wa mikopo ya ujenzi wa makazi, sekta rasmi ya ujenzi wa nyumba za kuishi, kasi ya ukuaji wa idadi ya watu, kuanzishwa na kukua kwa miji.

"Kwa kuimarisha upatikanaji wa mikopo kwa ajili ya ujenzi wa makazi, fedha hizi zitasaidia kuibua ukuaji bora wa uchumi, ambao matunda yake ni kuwepo ajira na kupunguza umasikini," alisema Mkurugenzi wa Benki ya Dunia kwa nchi za Tanzania, Uganda na Burundi, John Murray McIntire. Kuibuliwa kwa mradi huo kumechochewa na maboresho ya hivi karibuni kuhusu mazingira ya mikopo kwa ajili ya ujenzi wa nyumba.

Kupitishwa kwa sheria namba 17 ya mwaka 2008 inayohusu nafasi ya mikopo katika kufanikisha ujenzi wa nyumba, imechochea kasi ya serikali kuwa na mfuko wa fedha za ujenzi wa nyumba na kusababisha matarajio makubwa.

Pia, mpango mahususi wa Benki Kuu ya Tanzania (Bot) kwa ajili ya asasi ndogo za fedha, unaziwezesha (asasi) kuwa imara katika sekta ya fedha, kuinufaisha jamii kwa kutumia mgawanyo mdogo wa fedha, hivyo kuwa miongoni mwa mazingira yaliyofanikisha mradi huo.

Kiongozi wa kikosi kazi cha utekelezaji wa mradi wa WB nchini, Michel Noel, alisema soko la mikopo linawatenga watu wengi katika kuboresha makazi yao.

Alisema hali hiyo inaibua haja ya kuwepo mpango bora wa fedha utakaowafikia wasionufaika na mikopo michache inayotolewa sasa, ili wakamilishe ujenzi.

Hii ni mara ya tatu kwa IDA kuidhinisha fedha kwa Tanzania katika kipindi cha mwaka 2009/2010, hivyo kufanya kiasi cha jumla yaka kufikia Dola milioni 250.

Enter your comment below:
Your Name:

Your Comment:


Enter the security code below
xq19

Tanzania kuipiku Marekani kwa Uranium
Denmark will be dependent on immigrants
helikopta za kukodi zatua dar
Jobsearch Kick-Off Course on September 14
The Danish public accounts committee gets a close look at Danish support in Tanzania
Australian magistrate rules that the 'N-word' is not offensive
New rules regarding residence permits for au pairs
Muhidin Michuzi: Libeneke jipya - michuzipost.com
Denmark Starts to Trim Its Admired Safety Net
Jobsearch Kick-Off Course on September 14
Danish Immigration Service: Information about law changes
Youth-to-youth fund launched in Tanzania and Uganda
DF: People with non-Western background are not welcome in DK
Zimbabwe yataka mabalozi wa nchi za magharibi kuomba msamaha
Denmark : PM rejects DF demands on immigration
Mzungu Kichaa - new judge for Tanzania TV talent show , bongo star search
Vigogo waanguka uchaguzi wabunge CCM. Malecela nje!
Colonialism and the 'scramble for Africa'
Untold story: Night meeting that saved Moi presidency
Mdanish Jan Poulsen atua Tanzania kumrithi Maximo
Zanzibar votes for unity gov't
Family reunification with a foreign spouse: 24-years rule update
Tanzania traveler shares beauty of arrival
Banking executive: wages are too high
Copenhagen: Bilinguals feel like second rate students
Tanzania: Local Govts Frustrating Country Revenues
Au pairs stay on in Denmark - as nurses
Ministry sets up ‘dating site’ for expats and Danes
Copenhagen: Police dog found DKK 5 million
Tanzania Radar Scandal: U.K. Bribery Reparations a Risky Business