Watu milioni 100 huzungumza Lugha ya kiswahili barani Afrika

Watu milioni 100 huzungumza Lugha ya kiswahili barani Afrika

Watu milioni 100 huzungumza Lugha ya kiswahili barani Afrika

Watu wapatao 100 milioni wanazungumza lugha ya kiswahili barani Afrika. Tanzania ikiwa ni nchi mojawapo inayoongoza kwa lugha hiyo. Duniani kote watu wanao jifunza na kuongea wanazidi ongezeka.

Je sisi tulio ughaibuni hususani hapa Denmark tuna mpango nacho vipi??.

Tunakiendeleza vipi?

Tuna washirikisha vipi watoto wetu na wazawa wa hapa katika kukijua? Angalia video kwenye link chini

watu milioni 100 wanakiongea kiswahili

Screen Shot 2017-02-05 at 15.29.01

 

DM_WatanzaniaDK

Related Articles

Close
Close

Please enter your username or email address. You will receive a link to create a new password via email.

Close

Close